Hebrews 11:30-31

30 aKwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.

31 bKwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.

Copyright information for SwhNEN